Saturday, 6 September 2014

KATUNI YA LEO


DIWANI AMSHUSHIA KIPIGO DENTI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
DIWANI wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jijini Dar, Renatus Pamba ‘Mr. Simple’ anadaiwa kumshushia kipigo denti wa Chuo cha Ubaharia cha EMI jijini Dar, Alpha Mohamed (18) mpaka kumsababishia kupoteza fahamu, Risasi Jumamosi  limenyetishiwa.

LUNDENGA, MISS TANGA WAZICHAPA

Na Deogratius Mongela
KW/RB/8441/2014 imemshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga kwa madai ya kuzichapa na Miss Tanga 1997, Mona Faraja ambaye pia ni mke wake na kumsababishia majeraha, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori.

LULU AMPA SOMO MTOTO WA MIL. 50 ZA TMT

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI mwenye mvuto wa aina yake katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ amempa somo mshindi wa Shindano la Tanzania Move Talent ‘TMT,’ Mwanafaa Mwinzago kuwa asibweteke na ushindi aliopata bali azingatie masomo.

AJALI YAUA 21 MAGU

             http://api.ning.com/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gifTAKRIBANI watu 21 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso leo majira ya saa 5 asubuhi mkoani Mwanza.
Ajali hiyo imelihusisha basi la J4 lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Sirari lililogongana na gari aina ya Coaster eneo la Magu mkoani Mwanza.

TAMASHA LA SERENGETI FIESTA KUFANYIKA KESHO MUSOMA

                     Mkurugenzi wa Ufundi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (wa tatu kutoka kushoto mbele) leo amesema Tamasha la Fiesta lililoahirishwa Musoma kutokana na ajali, litafanyika kesho, Jumapili.

MAINA ATESWA NA PENZI LA ASLAY

Stori: Imelda Mtema
HISIA! Mrembo aliyetinga hatua ya Tano Bora ya Shindano la Bongo Star Search (EBSS) 2013, Maina Thadei ameibuka na kuelezea hisia zake kuwa anateswa na penzi la staa wa Bongo Fleva, Asilahi Isihaka ‘Aslay’

Friday, 5 September 2014

Orodha Ya Wasanii Wanaowania Tuzo Za BET Hiphop 2014 Na Msanii Aliyetajwa Zaidi.

drakeOrodha Ya Wasanii waliotajwa kuwania Tuzo Za BET Hiphop 2014 imetoka na rapper Drake ameongoza kwenye orodha hii akiwa ametajwa kwenye vipengele 8. Wasanii wengine waliotajwa mara sita ni Jay Z, Pharrell na Future . Mshereheshaji wa tuzo atakuwa rapper Snoop Dogg

Wednesday, 3 September 2014

AYSHA CHEYO NDIYE MISS TANZANIA USA PAGEANT 2014

Miss Tanzania USA Pageant wa 2013 Joy Kalemera akimvisha taji miss Tanzania USA pageant 2014 Aysha Cheyo siku ya Jumamosi Aug 31, 2014 Baada ya kunyakua taji hilo kwenye mashindano ya umiss yaliyofanyika Slvr Spring, Maryland nchini Marekani.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi jana kujiunga na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa Afrika (AU) kwenye mkutano wa kuzungumzia masuala ya tioshio la ugaidi linalolikabili bara hilo na dunia kwa ujumla.…

MAHAKAMA YAMFUNGA JELA MWIZI WA NYAYA ZA TTCL

Mmoja wa watuhumiwa wa nyaya za simu. Picha hii haina uhusiano na habari hii. Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam imemuhukumu kwenda jela miaka minne, Shaibu Muhidin Ndina baada ya kupatikana na kosa la kuiba nyaya za Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

JUMBA LA BBA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO

JUMBA lililokuwa limeandaliwa kwa ajili ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014 limeteketea kwa moto jana eneo la Sesani Studios jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

ROSE NDAUKA ASEMA UCHUMBA WAKE NGANGARI

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI nyota wa filamu, Rose Ndauka ameibuka na kukanusha vikali uvumi uliozagaa kuwa uchumba wake na Malick Bandawe umevunjika na kusema siyo kweli kwani bado upo ngangari kuliko kawaida.

DIMPOZ NUSURA ASHUSHWE JUKWAANI

Stori: Richard Bukos
Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ juzikati alipata wakati mgumu baada ya mademu kumvaa na kutaka kumporomosha jukwaani wakati wa shoo ya Nani kama Mama iliyofanyika katika Ukumbi wa Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

MTALAKA WA NORA ASAKA WENYE SHEPU


Stori: Imelda Mtema
Mtalaka wa msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro ‘Nora’, Luqman Nassoro amesema anasaka wasichana warembo na muonekano mzuri kuanzia sura hadi shepu kwa ajili ya kufanya nao kazi.

KICHENI PATI YA LUCY KOMBA MSHANGAO!

Stori: Imelda Mtema
NI mshangao! Sherehe ya kicheni pati ya staa wa filamu Bongo, Lucy Komba imewashangaza waalikwa wengi baada ya kutawaliwa na vitu vingi vya kiasili tofauti na matarajio ya wengi

JOTI, LULU BALAA


Tuesday, 2 September 2014

Diamond Kufanya Show Kwenye Uzinduzi Wa Big Brother Africa 2014.

Diamond Platnumz ametajwa kuwa kwenye orodha ya wasanii watakao fanya show kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa 2014.Uzinduzi huu unafanyika September 7 2014 huko Afrika Kusini.

SURA NA SAUTI YA WEMA NDIO INANIFANYA NIWESHABIKI YAKE NAMBA MOJA HADI TANO WENGINE WOTE WANAANZIA SITA!!!

Hi Admin, Kwakifupi mimi ni kijana (ME) napenda kuelezea hisia zangu za ushabiki wa kumpenda mwanadada Wema Wasepetu...Toka nipo O Level hadi sasa nipo chuo mwaka wa nne nimekuwa namfuatilia kwa karibu sana mwanadada huyu zamani kupitia magazeti ya udaku na hadi sasa FACEBOOK,INSTAGRAM,TWITTER na hadi kwenye BLOG za Udaku Kama hii....

JAMANI ILI VAZI LA LULU LINATATIZO GANI HADI WATU KULIANZISHIA THREAD JAMII FORUMS

Kupitia jamii forums mtu anaetumia jina la Zanzibar Spices
alifungua thread ikisema;

MTOTO ANYAKUA MILIONI 50 ZA TMT!!!

SOMA HII NI FUNZO KUBWA MAISHANI MWAKO

TETESI ZA USAJILI LEO LEO

*Falcao atua Old Trafford, Chicharito Real Madrid
*Defoe kurudi EPL, Van Gaal atafutia sita pa kwenda
*Daley blind naye atua Old Trafford
*Danny Welbeck, aonekana Arsenal

FUNGA KAZI YA USAJILI

Dirisha la usajili limefungwa msimu huu, habari kubwa ikiwa ni ya Radamel Falcao kutua Manchester United na Danny Wellbeck kutoka Man U kwenda Arsenal kwa mkataba wa muda mrefu.

KATUNI YA LEO


PHOTOS FOR BEAUTY AND MUSIC NIGHT WITH SAUTI SOL (@SautiSol)

Septemba 1: Viwango vya kubadilishia fedha

Septemba 1: Viwango vya kubadilishia fedha nmb

Monday, 1 September 2014

"NAMPENDA SANA MUME WANGU CHOCHOTE ATACHONIAMBIA NIMFANYIE NAFANYA HATA KAMA KIPO NJE YA UWEZO WANGU"....JACKY WA CHUZI


HIVI NDIVYO MSANII MATUMAINI ALIVYOPOKELEWA UWANJAWA NDEGE


MKE ACHOMA NYETI ZA MUMEWE KWA WIVU WA MAPENZI

Majambazi wamuua sista, wapora fedha

Wananchi wakiangalia sehemu ambayo majambazi walimpiga risasi Sista Clencensia Kapuli Ubungo, Riverside, Dar es Salaamana.jana. Picha na Michael Matemanga

Post Ya Shakira Kuhusu Mtoto Wa Pili Na Gerard Wa Barcelona

Shakira na Gerard Pique wametangaza rasmi kuwa wanategemea mtoto wa pili kwenye familia yao. Msanii huyu kutoka Colombia ametangaza August 28 kupitia twitter kuwa wanategemea mtoto wa pili na wanashukuru mashabiki kwa maombi yao

Kuhusu Wale Kusitisha Mkataba Wake Na Roc Nation Ya Jay Z Baada Ya Miaka 5.

Mtandao wa XXL umeripoti kuwa rapper Wale amesitisha mkataba wake na record lebel ya Jayz ‘Roc Nation’ baada ya miaka mitano ya kazi na lebel hio. Mtandao huo umeripoti kuwa Wale atasimamiwa na  77 North Management.

Kuhusu Mapokezi Ya Hili Jina la Filamu Ya Tano Ya Terminator Ya Arnold Schwarzenegger.

Matokeo Ya Mechi Za EPL Za Arsenal,Liverpool Na Aston Villa.



POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA WASHABIKI WENYE HASIRA !

KAFIKA UKUMBINI SAA 10 ALFAJIRI ! WASHABIKI WANASURI SHOW TANGU SAA 4 USIKU
PROMOTA MNAIJERIA AINGIA MITINI ,DJ APATA KISAGO HETI VYOMBO VIBOVU ! HAIBU