Tuesday, 2 September 2014

MTOTO ANYAKUA MILIONI 50 ZA TMT!!!


Mwanaafa LIBUYU mara baada ya kukabidhiwa mfano wa Hundi ya Shilingi Milioni 50 za Kitanzania Mara baada ya Kuwabwaga Washiriki wenzie tisa na Kuibuka Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kusaka Vipaji Vya Kuigiza Nchini lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ( TMT ) ambalo limefikia Ukingoni Jana Katika Ukumbi wa Mlimani City ....Hongera Sana

No comments:

Post a Comment