Monday, 1 September 2014

Kuhusu Wale Kusitisha Mkataba Wake Na Roc Nation Ya Jay Z Baada Ya Miaka 5.

Mtandao wa XXL umeripoti kuwa rapper Wale amesitisha mkataba wake na record lebel ya Jayz ‘Roc Nation’ baada ya miaka mitano ya kazi na lebel hio. Mtandao huo umeripoti kuwa Wale atasimamiwa na  77 North Management.
Repoti imesema kuwa Wale hana tofauti yeyote na lebel ya Roc Nation,ila ni maamuzi ya kuboresha maisha na kazi zake za muziki. Kwasasa Wale yupo mbioni kukamilisha album yake ya The Album About Nothing. Mtangazaji/mchekeshaji Jerry Seinfeld atakuwepo kwenye cd hii kama ilivyotajwa mwaka 2013.Management ya 77 North imehusishwa na kusimamia watu kama LeBron na bidha kama Beats na JohnnyFootball.

No comments:

Post a Comment