

Nashukuru sana wanajamii kwa kuiona hii thou I dn care mtu akonitukana kitu ambacho sivyo but mmenifurahisha
Binafsi sio kiraru
raru tuu but yeyote ambaye ni msanii yaan mtu anayefahamika na jamii
akiandika utumbo tutaandika na akiandika mema pia tutaandika
Hiki ni chombo cha
habari kama vingine eg magazeti,umeshawah kuona binafsi ktk
insta,twitter,fb namuandika mtu??ama natoa habari ya mtu?? Anyway
tynashukuru kwa kuwa we get paid for whatever we write here,na
tunashukuru kiraru raru kwa kutuongezea viewers Mungu akujaalieeeee
Lastly but not least
pole kwa kufungiwa acc twitter keep on writting bulshit watafunga na
IG,kwakuwa watu wamechoka na tabia zako ndo maana wameku report so kaa
tafakari
Thanks msamaria mwema kwa kumpa makavu live
No comments:
Post a Comment