Inawezekana
umefahamu mengi sana kuhusu mtangazaji wa radio Hamis Mandi aka B-12
aka B-DOZEN wa kipindi cha XXL cha Clouds FM huenda ulikuwa hufahamu
kuwa ni baba au hujawahi kumuona mtoto wake.
Kupitia Instagram Dozen ameamua kushare na mashabiki wake picha ya mtoto wake wa kiume.
''My son is cool like that...'' ameandika Dozen katika caption ya picha hiyo (juu)
No comments:
Post a Comment