Friday, 29 August 2014

Utani Mwingine Tena Kutoka Kwa 50 Cent Kuhusu Floyd Mayweather

50 Cent na Floyd Mayweather ni vijana wenye historia ndefu ukizingatia waliwahi kuwa marafiki wa karibu sana na hata kufanya kazi pamoja. Baada ya kuwa na tofauti kati yao wamekuwa wakitupiana vijembe na utani mwingi kwenye mitandao ukiwemo utani wa hivi karibuni wa 50 Cent kuhusu Floyd ambapo 50 alisema Floyd Mayweather hajui kusoma lugha ya Kingereza.
Sasa 50 Cent mechukua picha ya bondia Manny Pacquiao ambaye ni mpinzani mkubwa wa Mayweather na kuipost ikiwa na ujumbe  “SENDS TEXT TO FLOYD KNOWING HE CAN’T READ.” akimaanisha Manny anamtumia text Floyd akijua hawezi kusoma.

No comments:

Post a Comment