Thursday, 28 August 2014

Rolf Buchholz, Mjerumani anaetajwa kuwa mtu mwenye vipuli vingi zaidi usoni

Rolf Buchholz,mjerumani anaetajwa kuwa mtu mwenye vipuli vingi zaidi usoni akiwaamejitoboa zaidi ya mara 100 usoni amekataliwa kuingia dubai kutokana na sabasabu kiusalama. Rolf alikuwa amejipanga  kufanya onesho la salakasi na kikundi chake nchini  humo ambacho huonesho michezo mbalimbali ikiwa ni pamoja kucheza mapanga
            
                  

No comments:

Post a Comment